Thursday, June 12, 2014

"Hatutarudi nyuma kulinda." - Asema Modric.



Luka Modric ni kiungo wa kati wa timu ya taifa ya Croatia ambaye anacheza Real Madrid ya Hispania, ametamka wazi kuwa timu ya taifa ya Brazil ndio wanaoonekana kuwa watachukua Kombe La Dunia mwaka huu. Lakini ametahadharisha kuwa hawataingia uwanjani kwa uwoga, lakini watapambana na vigogo hao katika mechi ya ufunguzi wa Kombe La Dunia 2014.



"Itakuwa kazi nzito katika kiungo na sisi tutapotea kama tukijisalimisha na kujaribu kukaa nyuma na kulinda."

No comments:

Post a Comment