Vitali Maembe:
"Alhamisi
tarehe 12 jioni ntakuwa na watoto wa mitaani maeneo ya kariakoo. Ijumaa
Tarehe 13 asubuhi nitatembelea Mahabusu ya watoto Dar, Mchana naanza
kuelekea Bagamoyo kwa miguu, njiani nitapiga muziki na kujadili na watu
juu ya elimu. Jmosi tarehe 14 na Jpili Tarehe 15 nitakuwa njiani. Jtatu
Tarehe 16 nitapokewa na wanamuziki wengine tutajumuika pamoja Bagamoyo
kupaaza sauti zetu juu ya umuhimu wa Elimu kwa watoto wote."



No comments:
Post a Comment